Saturday, September 16, 2023

Libya Mashariki Yaangamizwa na Mafuriko - Watu zaidi ya 20,000 Wahofia Kufa!

Ni Mambo ambayo tumesoma kwenye biblia...mji mzima kuangamizwa!   Wiki iliyopita huko Libya mashariki ulipita Kimbunga Daniel. Mvua ulinyesha mwingi sana hadi bwawa mbili zilipasuka na kusababisha mji wa Derna kuteketezwa kwa maji!   Ajabu, Libya ni JANGWA! Crescent Nyekundu wa Libya wanasema watu karibu 20,000 wamehofia kufa!  Ila wataalamu wamiundo mbinu wanasema kuwa tangu Rais Ghadaffi auawawa hizo Bwawa hazikutunzwa ipasavyo ndo maana zika pasuka
..


 DERNA, Libya (AP) — Libyan authorities have opened an investigation into the collapse of two dams that caused a devastating flood in a coastal city as rescue teams searched for bodies on Saturday, nearly a week after the deluge killed more than 11,000 people.

 It’s unclear how such an investigation can be carried out in the North African country, which plunged into chaos after a NATO-backed uprising toppled longtime dictator Moammar Gadhafi in 2011. For most of the past decade, Libya has been split between rival administrations — one in the east, the other in the west — each backed by powerful militias and international patrons.

 One result has been the neglect of crucial infrastructure, even as climate change makes extreme weather events more frequent and severe.

 Heavy rains caused by Mediterranean storm Daniel caused deadly flooding across eastern Libya last weekend. The floods overwhelmed two dams, sending a wall of water several meters high through the center of Derna, destroying entire neighborhoods and sweeping people out to sea.

 






KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA: